Friday 12 February 2010

OBAMA HALISI

Huyu ni baba wa Obama unakubali? kama unadout yoyote wewe iangalie pua ya huyu mzee na ile ya Obama .


Aliyebebwa ni Rais Obama nadhani anaambiwa taratibu usijeukaanguka nakutegemea utakuwa rais miaka ijayo. Nahicho kichanga ndio yeye mwenyewe anaanza kuunyemelea urais.



Unaweza kukjua nani kabla sijakwambia? ni rais wa Marekani na dunia nzima akiwa na umri wa miaka sita. picha ya chini Obama akiwa na bibi mzalia baba yake nchini yupo afrika ambako familia ya baba yake ndiko ilikotokea.














Nikijana anaeonekana kutokerwa na jambo lolote manake tangu azaliwe anacheka kwa kila jambo au sijui alijijua kama atakuwa rais sku moja.



Nisiku ya ndoa yake na Michellemama wa watoto wake wawili Malia na Natasha.









Nakupenda sana huku ndio kwetu vipi umekupenda au tuondoke? Alipompeleka mkewe kwao upande wa baba yake.







"nadhani sasa utaweza kuhimili maisha japo kwa asilimia ndogo usitutupe lakini" Hayo ni maneno aliokuwa akiambiwa na bibi na babu yake baada ya kumaliza chuo Columbia University alikofanya degree ya kwanza ya Political Science.















Tunamaliza na mwanzo wa maisha yake mapya ya kuitawala dunia na alifanikiwa kuingia madarakani mwaka 2008 akiwa na umri wa miaka 62, ukweli ni kwamba waafrika dunia nzima walifurahia ushindi wake mpaka leo najiuliza kwanini? Au ndio mwafrika mwenzetu au tunategemea nini kutoka kwake?


Huyu ndie rais vipi ushaanza kujiuliza akitoka huyu baada ya miaka 8 nani atakuja? Angekuwa Micko hajafa ningesema yeye au pengine eddi muphy.
































Thursday 11 February 2010

Abdulrazak Gurnah kutoka ukimbizi hadi uprofesa nchini UK

Kujitokeza kwa vijana wingi kukimbilia nchi za nje kwa lengo la kutafuta maisha,kumbe ni muendelezo wa kile kilichoanzwa na wazazi wao miaka mingi iliopita.

Ninapomtaja Abdulrazak Gurnah ambae ni mzaliwa wa Zanzibar miaka 62 iliyopita ni kati ya wanzanzibari wa mwanzo ambao waliamua kwenda kuyawekeza maisha yao nchi za nje na yeye alielekea Uingereza miaka minne baada ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Kwanini aliamua kwenda huko? Katika tovuti yake Abdulrazak Gumnah anasema sio rahisi kukabiliana nacho kile kilichomkuta,anasema alikutwa na misukosuko mingi ikiwa kujiingiza katika maisha ya ukimbizi,ubaguzi wa rangi pamoja na kukosa haki za kimsingI.

Gurnah ambae amezaliwa mwaka 1948 Zanzibar kwa sasa ni mkufunzi wa lugha katika chuo cha Kent nchini London, na mwenye familia inayomtegemea wakiwemo watoto na mke,amefikia hatua hiyo baada ya kutokata tamaa na aliweza kujisomesha hadi kfikia hapo alipo kwa sasa, na mnamo miaka ya 1980 hadi 1982 alipata nafasi ya kuwa mwalimu katika chuo cha Kano nchini Nigeria.

Pr.Gurnah kwa sasa mhariri katika gazeti la linajulikana la wasafiri linalochapishwa nchini Uingereza.

Vilevile Pr. Gurnah ni muandishi mwa vitabu na ameshawahi kuwandika vitabu saba,ambapo vitatu kati vimempatia umaarufu navyo ni Paradize,Desertion na By the Sea vyote hivi ameviandika kulingana na mazingira aliyopitia hadi kufikia uprofesa.

chanzo cha habari ni http://www.abdulrazak%20gurnah/

Wednesday 10 February 2010

ALL ABOUT GREEN BELT MOVEMENT

The Green Belt Movement is a grassroots non-governmental organization,based in Nairobi, Kenya, has a pertnered with the Lambi Fund of Haiti to address economical and environmental challeges at the grassroots level.

Now this unique long-term partnership is adapting to the effects of the devastating earthquake last month.

The Green Belt Movement has two divisions. Green Belt Movement Kenya and Green Belt Movement International.

The mission of the Green Belt Movement (GBM) is to mobilize community consciousness for self-determination, equity, improved livelihoods and security, and environmental conservation.GBM The aim of the GBM is:
Tree Planting
Geographical Information Systems (GIS) & Information Technology
Civic & Environmental Education (CEE)
Advocacy & Networking
School Environmental Education (SEE)
Capacity Building & Income Generating Activities (IGAs)
Food Security
Society of Greens
Climate Change Adaptation
The Langata Learning Center
Planting with Institutions
Green Belt Safaris (GBS)Global Campaigns:
Plant for the Planet: The Billion Trees Campaign
Congo Basin Forest Ecosystem
Mottainai Campaign

The mission of the Green Belt Movement International (GBMI) is to empower communities worldwide to protect the environment and to promote good governance and cultures of peace.GBMI has four goals:
Goal 1: To strengthen and expand the Green Belt Movement in Kenya
Goal 2: To share the Green Belt Movement’s program with other countries in Africa and beyond
Goal 3: To empower Africans, especially women and girls, and nurture their leadership and entrepreneurial skills
Goal 4: Advocate internationally for the environment, good governance, equity and cultures of peace.

Wangari Maathai is the founder of the Green Belt Movement, an environmentalist, a civil society and women's rights activist, and a parliamentarian,she being awarded the Nobel Prize on 2004

Since winning the Nobel Peace Prize, Wangari Maathai has become a spokesperson for a number of important initiatives.Both before and since she won the Nobel Peace Prize, Wangari Maathai has spoken about, and been interviewed on, a range of subjects.

Tom's Story

I was abused when I was thirteen. It happened when I was playing on some fields near my home by a teenager about five years older than me. He told me afterwards why he did it. Of course I knew what sex was and I knew what Gays did together, but I remember thinking that I wasn’t gay and he didn’t ‘look Gay’ to me.

I remember cycling home and I remember how I felt. I went home and had a shower. I told no one, what could I say? How would I explain it to anyone?

After time you forget things. When you are young you put things to the back of your mind and you just get on. I was bullied heavily at school and there were many other issues I had to deal with that together pushed this further into the back of my mind.

My teenage years were very unhappy ones and I was glad when eventually I moved away and went to college. I got on with life. When I look back now, I realise that I was a complete emotional mess. So much had happened and I was so angry with everyone and anything. I hated my parents, I hated myself and I felt disgusted by my body and sex caused many emotional conflicts, especially guilt.

I felt that I had to punish people and I had a deep need to hurt people emotionally. In my twenties on more than one occasion my moods swings and depressions took me to the edge of suicide. I don’t know what stopped me, but somehow, each time I was at the edge of madness, I somehow managed to take a step back – act normal and carry on.

I had no idea what was going on, I felt that I was an emotional wreck, but on another level I still managed to get on with my life. I had a reasonably successful but unhappy career.

I was doing something that paid the bills, but all the time I remember feeling empty inside. I had a good relationship that meant the world to me, but I constantly felt depressed, like some part of me was always grieving. I could hear a little boy crying but I could never reach him, though I knew he was there and at times hearing him crying in my head was unbearable.

Then one day my life changed. Literally one minute I was fine and the next my world fell apart. All my fears, anger, self loathing, hatred and emotions just spilled out. I had been carrying around this stuff for twenty five years, not telling a soul and then everything just fell out of me. I was in pieces for months.

I got some help, but talk therapy only went so far and I was determined that I was not going to take any tablets for ‘depression’. I found NakedGJ by chance. I was looking for answers to help me put my life back together, mainly after my breakdown to help me with my self confidence at work. It’s funny really, you start down one road, with one objective only to end up on another; in my case where I really needed to go.

I would be lying if I said there is some kind of ‘miracle cure’ in dealing with this stuff. It is not easy. Sometimes dealing with the emotions left me in pieces, but looking back I know now that I was going though a process of grieving, for the boy lost in the fields. But I did find him again.

I was able to rediscover and comfort him and take away his sense of abandonment. It was the hardest thing I ever did, but I needed to do it and I will be for ever grateful that I did, because the hardest feeling in the world is to think that somewhere you abandoned a child and walked away and that is the feeling I carried around for twenty five years’.

I understand myself more. Things are clearer and my sense of perspective has changed. I have been able to put the pieces together, to work out why I used to behave the way I did. I am calmer and more positive and able to deal with my emotions without feeling like I am about to fall apart. My relationship is much stronger. My insecurities and fears that used to get in the way are not there any more and I have learned to trust myself and others more, something that was never there when I was growing up. I did decide to change my job – to something that I am much better suited to and one that I actually enjoy and in that respect NakedGJ also helped!
Free

Tuesday 9 February 2010

UKIMWI BADO GUMZO KWA WANZANZIBARI

Licha ya kutolewa elimu ya kutosha kuhusu ukimwi kwa wananchi wa Zanibar kwaUnguja na Pemba, lakini bado jamii haionekani kukubaliana na elimu wanayopewa.

Hivi karibuni nilitembelea sehemu mbali mbali za mjini Unguja katika pita pita yangu nilikutana na kikundi cha vijana wasiopungua watano na miaka yao kati ya 21 na kuendelea, walinishangaza kwa kile wanachozungumza.

Wanazungumzia UKIMWI lakini kwa nyanja tofauti, wanamzungumzia kijana mwenzao ambae amegundulika na maradhi hayo ambapo wanajadili jinsi gani watakaa nae manaake ametenda dhambi kubwa mbele ya Mungu na jamii iliyomzunguka.

Niliwauliza kwanini wanafikiria hivyo? walinijibu hujui kama ukiwa na ukimwi ni muhuni! na wao hawawezi kukaa na muhuni kwani nawao wataonekana ni wahuni kama yeye.

Ilinisikitisha kusikia hayo kwani nilikuwa nnakotoka kabla ya kukutana na vijana hao niliupata mkasa wa mtoto anaelelewa na bibi yake kwasasa na amekosa wa kucheza nae mtaani hapo kisa anaishi na virusi vya ukimwi alivyoambukizwa na wazazi wake, na baadhi wazee wa mtaa huwakataza watoto wao kutocheza na mtoto huyo kwakuwa ana ukimwi.

Ilinisikitisha kwani wanofanya unyanyapaa huo ni watu wazima ambao wao wenyewe hatma yao hawaijui! Na kwa upande mwengine hata huyo mtoto anaefanyiwa unyanyapaa huo, haujui hata huo ukimwi kwani ndio kwanza ana umri wa miaka minne. Ukweli ni kwamba machozi yalinitoka nilipomuona huyo mtoto wenyewe na jinsi anavyofanyiwa ni huruma kweli.

Turudi katika hadithi yetu,kwa kuwa nawajuwa vijana wale wanaomhadithia mwenziwao ameambukizwa nilisogea karibu nao nikawauliza kama ifuatavyo. "Asalam Alaykum wakaitikia vizuri " Aleykum Msalaam, nikawauliza kwanini wanasema hivyo? Na hili ndilo jibu lao....... Ukiwa na ukimwi lazima utakuwa muhuni na hasa katika masuala ya ngono kwaiyo tunafanya hivyo ili nasisi tusije kuonekana kama yeye.

Mmmmhhhh huo ni mguno ulionitoka baada ya kupata maelezo kwani nilijua kumbe bado kazi ipo ya kutoa elimu inayohusu UKIMWI baada ya hapo niliwauliza tena, kwanini wanafikiria hivyo?na walinijibu kuwa.... hakuna njia au sababu ya kupata ukimwi ikiwa si muhuni na rafiki yao huyo lazima ni muhuni ndio maana ameambukizwa. Sijaamini nilichokisikia kutoka kwa vijana hao lakini ndio hali halisi ilivyokuwa.

Ukweli ni kwamba nilichukuwa muda kuwafamisha mpaka nikautoa mkasa wamtotoyule malaika wa mungu ambaye hata zinaa haijui na watu kama wao hawataki kumbeba,kucheza nae na hata kuthubutu kuwakataza watoto wao, je mtoto huyo amezini lini au huo uhuni wanaosema ameufanya lini? Hapo ndipo waliponielewa kwani mpaka baadhi yao wakadondosha machozi.

Hao ni baadhi yao lakini kunawengine huwa na uthubutu ya hata kuwakataa na kuwafukuza majumbani mwao ndugu, jamaa na marafiki pale wanapokundua kuwa wanaishi na VVU.

Vilevile kumekuwa na wagonjwa wa UKIMWI wanaotelekezwa hospitali bila ya huduma yoyote kutoka katika familia yake na hata mauti yakimfikia basi hakuna uthubutu nani atakaekwenda kumstiri kisa anaukimwi hiii inatokea katika visiwa hivi, ambapo asilimia kubwa ya wananchi wake wanao ufahamu wa nini UKIMWI.

Nini kifanyike kuidhibiti hali hii? ikiwa elimu juu ya ukimwi bado inatolewa!

Kwa upande wangu sitokata tamaa ya kumuelewesha mtu yoyote ambae nikimuona ana mawazo kama niliyowakuta kwa vijana hawa niliokuhadithia lakini mpaka lini wanzanibari tutakuwa hivi? Ikiwa mzazi uneiyongoza familia yako unamtenga mwanao alieambukizwa na unamkataza mwanao asieambukizwa kushirikiana na alie ambukizwa, je wewe ushaijua hatma yako na ya yule unaemchunga?

JITAMBUE

Kila binaadamu anatakiwa ajitambue yeye nani na anamahitaji gani kwa yeye na kwajamii. Hii inatokana na nini?

Monday 8 February 2010

Jina langu kamili ni Salha Mohammed Ali ni muajiriwa wa Television Zanzibar ni muandishi wa habari kwa muda wa miaka kumi sasa. Ukweli nikwamba nnaipenda sana kazi yangu na nimejiendeleza ili kukabiliana vema na mabadiliko ya kitechnoloja yalivyo, napenda sana kuandika na kutayarisha katika masuala ya wanawake na watoto na nina uzoefu wa kazi kwa miaka kumi sasa..